HUYU NDIYE MSHINDI WA BONGO STAR SEARCH NA HAPA AKIKABIDHIWA MZIGO WA MIL.50
Walter Chilambo ameibuka mshindi wa shindano la Epiq Bongo Star Sesrch 2012 usiku huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam baada ya kuwabwaga washiriki wenzake wanne alioingia fanali, hivyo kuzawadiwa papo hapo kitita cha Sh. Milioni 50.
No comments:
Post a Comment