UJUMBE TOKA KWA MADAM RITA PAULSEN
Usiruhusu mtu akuamulie maisha yako!
Katika haya maisha, watu watajaribu kukwambia vitu ambavyo unaweza na hauwezi kufanya. Pia watajaribu kukuamulia wewe uwe mtu wa aina fulani na mwenye tabia fulani au usiwe mtu aina fulani.
Kama kweli unauwezo wa kufanya kitu fulani na unaamini hivyo, basi usikubali kukata tamaa. -------> Nawatakia siku njema.
No comments:
Post a Comment